 |
Meneja
wa
TCRA Kanda ya Nyanda za Juu kusini Deograsias Moyo kwa niaba ya
mkurugenzi wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania akimkabidhi hundi ya zaidi
ya sh milioni 15 mkurugenzi wa hospitali ya rufaa Mbeya eliuter
Samnkey |
ZAIDI ya shilingi million
15 zimetolewa na mamlaka ya mawasiliano Tanzanzania (TCRA) nyanda za juu
kusini ajiri ya kuboresha mfumo mpya wa utoaji
huduma za matibabu kwa njia ya mawasiliano (TELE MEDICINE) ili kupunguza
vifo na gharama za usafiri kwa wagonjwa.
 |
Mhandisi
na kaimu
meneja wa mamlaka ya mawasiliano ya simu (TTCL) George Mtikila akipokea
hundi hiyo kwa mkurugenzi wa hospitali ya rufaa dr Eliuter Samnkey kwa
ajili ya kuleta vifaa hivyo na kufunga katika hospitali hiyo ya rufaa
Mbeya
|
 |
ZAIDI ya shilingi million
15 zimetolewa na mamlaka ya mawasiliano Tanzanzania (TCRA) nyanda za juu
kusini ajiri ya kuboresha mfumo mpya wa utoaji
huduma za matibabu kwa njia ya mawasiliano (TELE MEDICINE) ili kupunguza
vifo na gharama za usafiri kwa wagonjwa.
|
 |
Mkurugenzi Mkuu wa
Hosptal ya Rufaa jijini Mbeya Eleuter Samky alishukuru mamlaka hiyo na kueleza
kuwa mfumo huo utaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza
vifo na jamii kupatiwa huduma bora licha kuwepo na changamoto ya upungufu wa
madaktari bingwa.
“Mfumo huu utatusaidia sana na
kuweza kuokoa maisha ya watanzania kwani kutakuwepo na mawasiliano mazuri na
kuelimishana njia mbalimbali za kuweza kutoa matibabu kwa wagonjwa wetu hususan
magonjwa ya watoto na mgonjwa sugu yaliyoshindikana kutibika“Alisema.
|
 |
Mhandisi na kaimu meneja
wa shirika la simu (TTCL) George Mtikila alisema kuwa
mkataba huo wameingia na mamlaka ya mawasiliano (TCRA) utaanza kutumika
kwa wakati na kwamba lengo kuu ni kuhakikisha huduma za afya
zinaboreshwa katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora zaidi.
|
 |
Jengo la TTCL Mbeya |
 |
Mitambo ya kisasa ya mkonge wa taifa |
 |
Hudi iliyokabidhiwa leo |
 |
Moja ya wataalam wa mkonge wa taifa Humphrey Ngowi akiwaeleza waandishi wa habari jinsi mtambo huo unavyofanya kazi.
HII
NDIYO HALI HALISI MBEYA YETU IMEIKUTA KATIKA HOSPITALI KUBWA SANA HAPA
MKOANI MBEYA KWENYE WODI YA WAMAMA WAJAWAZITO WALIOFANYIWA UPASUAJI
HUAMBIWA WAKANUNUE DAWA NA VIFAA VINGINE VYA MATIBABUHUKU
UKUTANI KUMEBADIKWA TANGAZO LA KUWA HUDUMA KWA WAJAWAZITO NI BURE PICHA
HIYO INAJIELEZA JAMAA KATOKA KUNUNUA DAWA ZA KUMUHUDUMIA MKE WAKE
ALIYEFANYIWA UPASUAJI HOSPITALINI HAPO MBEYA YETU INAENDELEA KUFUATILIA
MATUKIO HAYO TUTAZIDI KUWAJULISHA.
 |
Mratibu wa miradi na
Mwakilishi wa Bez Mamy Africa Bw Chris Zacharia akiwa na wadau wa Czech BEZ MAMY |
 |
Michoro ya picha za tingatinga inayotumika kukusanya michango hiyo |
 |
Mratibu wa miradi na Mwakilishi wa Bez Mamy Africa Bw Chris Zacharia akiendesha moja ya semina za kuchangia mfuko huo
Shirika lisilo la
kiserikali la Jamhuri ya Czech BEZ MAMY limeanza kampeni ya kukusanya pesa Ulaya
kwa ajili ya Kusaidia watoto yatima nchini Tanzania hasa mkoani Mbeya
Bez Mamy kwa
kushirikiana na shirika la Kitanzania la jiji Mbeya Without Mother Organization
kwa pamoja wamedhamiria kuinua elimu mkoani Mbeya kwa kusaidia ukarabati na
utoaji wa misaada kwa shule za msingi jijini Mbeya, Ujenzi wa vituo vya watoto
yatima, kuwalipia ada watoto yatima na kuboresha huduma za Afya jijini na
wilaya mbalimbali za mkoa wa Mbeya
Akiongea na blog hii
Mratibu wa miradi na Mwakilishi wa Bez Mamy Africa Bw Chris Zacharia alisema,
wanatumia njia mbalimbali kukusanya pesa
hizo ambazo zitatumika katika ujenzi wa Bweni la wasichana katika kituo
cha watoto yatima Mahango,Mswiswi pamoja na ujenzi wa Sekondari ya Ufundi
katika Kijiji hicho cha Mahango
Njia zinazotumika
kukusanya pesa hizo ni uuzaji wa michoro ya Tinga Tinga katika sehemu
Mbalimbali nchini Slovakia na Jamhuri ya Czech na pia kupitia mtandao www.tingatingashop.cz
Njia nyingine ni
utoaji wa Mihadhari katika vyuo vikuu, shule za sekondari za ufundi, Makanisani
na kwa watu binafsi katika nchi hizo
Akizungumzia misaada
na miradi hii bwa Chris Zacharia alisema,Ikiwa watu wa Ulaya wanajitoa kusaidia
watoto wa afrika itawatia moyo zaidi kusaidia ikiwa watasikia watanzania
wengine wenye uwezo pamoja na serikali wanajitoa kusaidia kundeleza miradi hii
ambayo ina msaada mkubwa kwa uchumi na maendeleo ya nchi yetu
|
 |
SOKO KUU LA MWANJELWA LINALOENDELEA KUJENGWA MPAKA SASA LIMEFIKIA ASILIMIA 80 ILI KUKAMILIKA NA KUANZA KUFANYA KAZI |
 |
WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA WANAPATA MAELEKEZO YA HATUA ILIPOFIKIA YA UJENZI NA
NINI KILICHOBAKI ILI JENGO LIANZE KUFANYA KAZI
|



 |
HILI NI JENGO LA KUHIFADHIA TAKA SOKONI HAPO KABLA YA KUPELEKWA DAMPO
JENGO LA SOKO LA MWANJELWA LILIANZA KUJENGWA 25.02.2010
HADI SASA LIMEFIKIA HATUA YA UMALIZIAJI JAPO LIMECHELEWA KUKAMILIKA NA HATUA
ZILIZOPO SASA KUFUATANA NA MKATABA WA UJENZI WA SOKO HILO NI KUWA MKANDALASI
ANAKATWA TSH MILION KUMI KILA SIKU KWA MIEZI MITATU ALIYOPEWA AMALIZER NA
KUKABIDHI JENGO LIKIWA LIMEKAMIRIKA.
ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI ILILENGA KUJIONEA UJENZI
UNAVYOENDELEA NA KUJUA KWA NINI JENGO LIMECHELEWESHWA KUMARIZIKA NA HATUA GANI
ZIMECHUKULIWA ILI KUKAMILISHA JENGO HILO AMBALO LINA UWEZO WA KUWA NA VYUMBA
VYA BIASHARA 450, STOR 3 KWA AJILI YA KUTUNZIA VITU, OFISI MBALIMBALI, POLISI
POST MOJA, HOTEL 4, MADUKA MAKUBWA WATAGAWA KWA MITA, MABUCHA 10, SEHEM
YA WAFANYA BIASHARA WADOGO 444, SEHEM YA KUPAKI GALI 150, SEHEM YA KUHIFADHIA
TAKA, MAJI SAFI, MAJI TAKA, GENERETA KUBWA, VYOO KWA AJILI YA WAHITAJI MAALUM
NA VYA KAWAIDA KATIKA KILA GHOROFA. JENGO LITAKUWA NA GHOROFA 3.
HADI HATUA HII YA ASILIMIA 80 JENGO LIMEGHARIM TSH BILION 8.8 NA
HADI UKAMINIKA LITAGHARIMU TSH BILION 13.
Picha na taarifa zote kwa hisani ya Mbeya Yetu.
|
| | |
| | | | | | | |
| | | | | | | |