Wednesday, September 19, 2012

Shukurani

Nawashukuru wote wanaonipa moyo, hasa kwa hatua niliyochukua ya kuweza kupunguza/kutibu maradhi mbalimbali yanayowakabili watanzania wenzangu.

Ninaheshimu na kutunza siri za wagonjwa wangu, kwani heshima na utu wa mtu ni bora kuliko tiba.

Pia napenda kuwapa moyo wale wote wanaoumwa na kukata tamaa, kwani kuugua siyo kufa. 

Unatakiwa kufanya yafuatayo:- 

  1. Kuukubali ugonjwa unaokusumbua 

  2. Kutafuta suluhu ya tatizo(ugonjwa)

  3. Kupima ilikujua afya yako 

  4. Kula vyakula bora

  5. Kujipenda, kujithamini na kukubali changamoto aliyonayo!

  6. Kufanya mazoezi

  7. Kuwa muwazi kwa familia yako

    Kupata tiba 

    Nakaribisha wote wenye matatizo ya afya, wanahitaji ushauri, au wana mawazo, matangazo, mbalimbali  waweze kuwasiliana nami kupitia mtandao wangu.

    zaharam2012.blogspot.com/zaharam2012@gmail.com au simu namba 0754301830.

    wenu, 

    Zahra Mansour.