TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA - MBEYA CENTRE, NAFASI ZA KUJIUNGA NA MASOMO YA SHAHADA YA UALIMU 2012/2013
Picha na matukio ni kwa hisani ya Kalulungablogspot.com
MKUU WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA,ANAWATANGAZIA WATANZANIA WOTE KUFUNGULIWA RASMI KWA TAWI JIPYA CHA CHUO HICHO UYOLE JIJINI MBEYA, AMBACHO AWALI KILIJULIKANA KAMA CHUO CHA UALIMU CHA KILUTHERI MBEYA.
HIVYO MKUU WA CHUO CHA TUMAINI UNIVERSITY
MAKUMIRA MBEYA CENTRE, ANAWATANGAZIA NAFASI ZA KUJIUNGA NA MASOMO YA SHAHADA YA
UALIMU AMBAYO NI BACHELOR OF EDUCATION AND BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION KWA
MWAKA WA MASOMO 2012/2013.
CHUO KIPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI YA
KUSOMEA, MAKTABA YA KISASA, MTANDAO WA INTERNET NA WALIMU WENYE UZOEFU,
HUDUMA YA AFYA INATOLEWA KATIKA ZAHANATI YA CHUO HICHO YENYE VIFAA VYA
KISASA NA INATOA MATIBABU KWA WANAFUNZI
PAMOJA NA JAMII INAYOWAZUNGUKA, PIA WALE
AMBAO NI WANACHAMA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA YA TAIFA (NHIF) WATAPATA HUDUMA HIYO.
TUNAWAKARIBISHA WOTE KUJIUNGA NA WALE
WANAOPENDA KUHAMIA KATIKA CHUO, WAFIKE
KATIKA OFISI ZETU ZILIZOPO UYOLE ENEO LA NSALAGA BARABARA KUU IENDAYO DAR ES SALAAM KARIBU NA KITUO CHA MAFUTA CHA LAKE OIL ILI WAWEZE KUJISAJILI NA
KUPATA MAELEZO ZAIDI AU WATUME MAOMBI PAMOJA NA VYETI VYAO KWENYE BARUA
PEPE IFUATAYO:-tumashuco2012@gmail.com.
MASOMO YATAANZA RASMI TAREHE 27/10/2012.UDAHILI UNAFANYIKA SASA.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU ZIFUATAZO:-
0753
817 274, 0754 206 860, 0655 858 527
TAFADHALI UKISIKIA AU KUONA TANGAZO HILI MTAARIFU NA MWENZIO.
Bridgit Alfred atwaa taji la Redd's Miss Tanzania
Redd's Miss Tanzania 2012,Bridgit
Alfred (katikati) akiwa na mshindi wa Pili,Eugene Fabian (kushoto) na
Mshindi wa Tatu,Edda Sylvester (kulia) mara baada ya kutangazwa mshindi
wa Redd's Miss Tanzania 2012 iliyomalizika katika ukumbi wa
hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar.
Redd's
Miss Tanzania 2012,Bridgit Alfred akirurahia mara baada ta kutangazwa
mshindi katika shindano lililomalizika hivi punge kwenye ukumbi wa
hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar
Washereheshaji katika Onyesho la
kumsaka Mlimbwende wa Redd's Miss Tanzania 2012 ndani ya
Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.Kushoto
ni Taji Liundi na Kulia ni Jokate Mwegelo.
Warembo wa Redd's Miss Tanzania
wakionyesha show yao mbele ya Watanzania katika Ukumbi wa Hoteli ya Blue
Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Warembo wakipita katika jukwaani na Mavazi ya Ubunifu.
Burudani ya Ngoma za Asili kutoka kwa Kundi la Wanne Star.
Wadau wa Miss Tanzania wakibadilishana Mawazo.
Wanahabari kazini.
Wadau kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam
Watu kibao ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wanalibeneke mzigoni kama kawaida
No comments:
Post a Comment